Posts

Image
Bs Mtumishi wa Mungu katika ibada kipindi cha mjadala wa Bibilia inasemaje.  Akinena na wana na binti za Bwana hakika ilikuwa ni siku njema sana Mungu akulinde Fungu: Warumi 3:19 God's servant in worship during the Bible discussion says. Speaking to the sons and daughters of the Lord surely was a great day for God to guard you Article: Romans 3:19
Image
Mungu akiwa upande wetu nani wa kutusumbua? Katika utulivu wake katika mji wa Arusha nikitafakari ukuu wa Mungu aliye hai.
 Wimbo huu huwa unanibariki sana hata pale mambo yanapokuwa magumu Munguvhusimama ndipo napata nafasi ya kusifu zaidi jina lake maana anajibu kwa wakati. 3 - Mungu Atukuzwe. 1 Mungu atukuzwe, kwa mambo makuu, Upendo wake ulitupa Yesu, Aliyejitoa maisha yake, Tuwe nao uzima wa milele. CHORUS: Msifu, msifu, dunia sikia, Msifu, msifu watu wafurahi, Na uje kwa Baba, kwa Yesu Mwana, Ukamtukuze kwa mambo yote. 2 Wokovu kamili, zawadi kwetu, Ahadi ya Mungu kwa ulimwengu, Wanaomwamini na kuungama, Mara moja wale husamehewa. 3 Alitufundisha mambo makuu, Alihakikisha wokovu wetu, Lakini zaidi ajabu kubwa, Yesu atakuja na tutamwona.

Mkutano wa Tucasa unioni At Mariado sec usa-river Arusha

Image